LIVE STREAM ADS

Header Ads

Mapokezi ya Makamu wa Rais jijini Mwanza

Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com

 Mkuu wa Mkoa Mwanza, John Mongella akiwa na viongozi mbalimbali Julai 31, 2020 majira ya jioni ameongoza mapokezi ya Makamu wa Rais, Mama Samia Suluhu Hassan katika uwanja wa ndege wa Mwanza

Mama Samia amewasili jijini Mwanza akielekea Bariadi mkoani Simiyu ambapo Agosti Mosi 2020 anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye ufunguzi wa Maonyesho ya Wakulima, Wafugaji na Wavuvi (Nanenane) yatakayofanyika kitaifa katika uwanja wa Nyakabindi.
Na George Binagi-GB Pazzo, BMG
 Makamu wa Rais, Mama Samia Suluhu Hassan (kushoto) akisalimiana na viongozi mbalimbali alipowasili katika uwanja wa ndege wa Mwanza.
 Makamu wa Rais, Mama Samia Suluhu Hassan (kushoto) akisalimiana na viongozi mbalimbali mkoani Mwanza.
 Makamu wa Rais, Mama Samia Suluhu Hassan akiwa na mwenyeji wake Mkuu wa Mkoa Mwanza, John Mongella alipowasili katika uwanja wa ndege wa Mwanza.
Tazama BMG ONLINE TV hapa

No comments:

Powered by Blogger.