TANZIA…TANZIA…TANZIA...TANZIA...TANZIA...TANZIA!
Bw.Elly
Mushi na Bi.Joyce Kilatu wa Kiloleli
Mkoani Mwanza Wanasikitika Kutangaza Kifo cha ndugu yao Mpendwa Ndelimbi
Eliezer Mushi wa Lumala Mwanza,
Kilichotokea tarehe 05.03.2015 nyumbani kwake Lumala Mwanza.
Mipango ya Mazishi inafanyika nyumbani Machame Kilimanjaro ambapo
Mazishi yanatarajiwa kufanyika Kesho tarehe 09.03.2015 huko Machame Nkuu Kati
Mkoani Kilimanjaro. Mwili wa Marehemu unasafirishwa leo jumapili tarehe
08.03.2015 kwa ajili ya Mazishi hiyo kesho.
Habari ziwafikie Watumishi wote wa Hospitali ya Mkoa wa Mwanza
Sekour Toure, Umoja wa Wamiliki wa Maduka ya Dawa Mhimu Mkoani Mwanza
UWAMADAMWA, Wafanyabiashara wote wa Soko Kuu Kirumba Mkoani Mwanza, Dr.Magoke
wa Shinyanga pamoja na ndugu, jamaa na Marafiki wote popote pale walipo.
MAWASILIANO KWA BW.MUSHI:0754 09 39 03
BINAGI
MEDIA GROUP INAWAPA POLE WALE WOTE WALIOFIKWA NA MSIBA HUU, AMEN!
No comments: