AUDIO: MAHOJIANO NA NAHODHA WA TANZANIA KATIKA MCHEZO WA KUOGELEA KWENYE MASHINDANO YA OLIMPIKI BRAZIL.
Ikiwa Una Habari, Tukio, Picha, Maoni au Tangazo, Wasiliana Na BMG Kwa Nambari za Simu 0757 432694 Au Email binagimediagroup@gmail.com
Alikuwa mkarimu kujiunga nasi kwa njia ya Skype sambamba na kocha wake Alexander Mwaipasi
Karibu uungane nasi.
Photo Credits: MissiePopular.com
Katika kipindi cha JUKWAA LANGU (Jumatatu Agosti 15 2016) Mubelwa Bandio alifanya mahojiano ya moja kwa moja na Hilal Hemed Hilal. Nahodha wa Tanzania
katika mchezo wa kuogelea kwenye mashindano ya Olimpiki huko Rio de
Janeiro nchini Brazil.Alikuwa mkarimu kujiunga nasi kwa njia ya Skype sambamba na kocha wake Alexander Mwaipasi
Karibu uungane nasi.
No comments: