LIVE STREAM ADS

Header Ads

MAKONDAKTA NA WAPIGA DEBE MWANZA WAVUNJA UKIMYA

Wasiliana na BMG kupitia 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com kwa huduma za Habari na Mangazo.

...Mwenyekiti wa umoja huo Mrimi Juma pamoja na Katibu wake Erick Felishian, wanasema umoja umedhamiria kuwa mfano bora katika jamii na kwamba umeanza kuchukua hatua za kinidhamu kwa baadhi ya Makondakta na Wapiga Debe wanaojihusisha na vitendo vya uhalifu ikiwemo kuwapeleka polisi...
Kaimu Afisa Mtendaji Kata ya Nyamagana Jijini Mwanza, John Mwakalasya (kushoto) akipokea rambirambi kutoka kwa Mwenyekiti wa Umoja wa Makondakta na Wapiga Debe Jijini Mwanza, Mrimi Juma (kulia), kwa niaba ya Mkuu wa wilaya ya Nyamagana aliyefiwa na baba yake
Kaimu Afisa Mtendaji Kata ya Nyamagana Jijini Mwanza, John Mwakalasya (kushoto) akipokea rambirambi kutoka kwa Mwenyekiti wa Umoja wa Makondakta na Wapiga Debe Jijini Mwanza, Mrimi Juma (kulia), kwa niaba ya Mkuu wa wilaya ya Nyamagana aliyefiwa na baba yake. Wanaoshuhudia ni wanachama wa umoja huo.
Baadhi ya wanachama wa Umoja wa Makondakta na Wapiga Debe Jijini Mwanza wakifanya usafi jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba kwenye barabara ya Pamba na mitaa mbalimbali ya Jiji hilo
Baadhi ya wanachama wa Umoja wa Makondakta na Wapiga Debe Jijini Mwanza wakifanya usafi jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba kwenye barabara ya Pamba na mitaa mbalimbali ya Jiji hilo
Baadhi ya wanachama wa Umoja wa Makondakta na Wapiga Debe Jijini Mwanza wakifanya usafi jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba kwenye Mnara wa Nyerere na mitaa mbalimbali ya Jiji hilo
Mbunge wa Jimbo la Nyamagana, Stanslaus Mabula (katikati), akisalimiana na mmoja wa wapiga debe Jijini Mwanza.
BMG Habari, Pamoja Daima!

No comments:

Powered by Blogger.