LIVE STREAM ADS

Header Ads

TAMASHA LA TIGO FIESTA LAACHA GUMZO MKOANI NJOMBE

Wasiliana na BMG kupitia 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com kwa huduma za Habari na Mangazo.

Wasanii wa kizazi kipya wa kundi la Rostam wakiwa kwenye staili ya aina yake kwenye jukwaa la tamasha la  Tigo Fiesta lililofanyika uwanja wa sabasaba mjini Njombe usiku wa kuamkia jumamosi.
Aslay akiimba kwa hisia mapema wiki iliyopita katika jukwaa la Tigo Fiesta Mkoani Njombe
Wasanii Jux, Nandy, Ben Pol na Maua Sama walipanda pamoja na kuimba  nyimbo zao mbalimbali kwenye tamasha la Tigo Fiesta lililofanyika uwanja wa sabasaba mjini Njombe usiku wa kuamkia jumamosi.
Mr blue akiwapagawisha wakaziwa mkoa wa Njombe mapema wiki iliyopita.
Chege Chigunda akitumbuiza na madansa wake
Darasa akiburudisha wakazi wa Mkoa wa Njombe mapema wiki iliyopita.
Squeezer akiburudisha umati wa wakazi wa Njombe waliojitokeza katika Tamasha la Tigo Fiesta wiki iliyopita
Vanesa Mdee akiwa katika jukwaaa la Tigo Fiesta Mkoani Njombe usiku wa kuamkia jumamosi.
Na Krantz Mwantepele

No comments:

Powered by Blogger.