LIVE STREAM ADS

Header Ads

Shirika la KIVULINI lashiriki wiki ya Maulid jijini Mwanza

Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
 Shirika la kutetea haki za wasichana na wanawake KIVULINI ni miongoni mwa wadau walioshiriki kwenye maadhimisho ya wiki ya Maulid yanayofanyika uwanja wa Furahisha mkoani Mwanza ambapo kitaifa Maulid inatarajiwa kufanyika Novemba 09, 2019.
Na George Binagi-GB Pazzo, BMG
 Mkuu wa Mkoa Mwanza, John Mongella (kulia) akizungumza jambo baada ya kuzindua maadhimisho ya Maulid na kutembelea banda la Shirika la KIVULINI.
 Mkuu wa Mkoa Mwanza, John Mongella akipata maelezo alipotembelea banda la Shirika la KIVULINI kwenye maadhimisho ya Maulid.
 Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la KIVULINI, Yassin Ally akitoa salamu zake kwenye uzinduzi wa Maulid.
Tazama BMG TV ONLINE hapa chini

No comments:

Powered by Blogger.