LIVE STREAM ADS

Header Ads

Kampeni mpya ‘Corona Iko Mlangoni Kwako’

Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com

Mikoa ya Kanda ya Ziwa imeanza kunufaika na kampeni ya ‘Corona Iko Mlangoni Kwako’ inayoendeshwa na Shirika la KIVULINI kwa lengo la kuelimisha jamii kuchukua tahadhari dhidi ya maambukizi ya Corona pamoja na kusaidia upatikanaji wa vijaa vya kujikinga na maambukizi hayo.

Tayari Wilaya za Nyamagana, Ilemela, Magu na Misungwi mkoani Mwanza zimenufaika na kampeni hiyo. Wilaya nyingine ni Bunda mkoani Mara ambapo mikoa mingine ikiwemo Shinyanga na Kigoma inafuata.
Tazama BMG TV hapa chini

No comments:

Powered by Blogger.