LIVE STREAM ADS

Header Ads

MISUNGWI “Shirika la KIVULINI lakabidhi vifaa vya kupambana na Corona”

Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com

Shirika la la kutetea haki za wasichana na wanawake (KIVULINI) Jumanne Mei 05, 2020 limekabidhi vifaa vya kusaidia mapambano dhidi ya Corona katika Wilaya ya Misungwi mkoani Mwanza.


Vifaa hivyo ni pamoja na mashine za kupima joto la mwili, vitakasa mikono na mapipa ya kuweka maji ya kunawia mikono ambapo vitatumika katika Ofisi ya Mkuu wa Wilaya Misungwi/ Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Misungwi, soko la Gwambina mjini Misungwi, Hospitali ya Wilaya Misungwi pamoja na Kituo cha Polisi Misungwi Kitengo cha Dawati la Jinsia.
#BMGHabari
Tazama BMG TV hapa chini

No comments:

Powered by Blogger.