LIVE STREAM ADS

Header Ads

RC Chalamila aagiza baa mashuhuri Mwanza, ifunguliwe, watu wanywe bia

Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
Mkuu wa Mkoa Mwanza, Albert Chalamila Mei 25, 2021 ameagiza baa mashuhuri jijini Mwanza iitwayo 'The Cast Bar & Grill' ifunguliwe baada ya Mei 15, 2021 kufungwa kutokana na madai ya wananchi kulalamilika makelele ya muziki. 
Tazama BMG TV hapa chini

No comments:

Powered by Blogger.