LIVE STREAM ADS

Header Ads

Rais Samia awaongoza waombolezaji kuaga mwili wa Dkt. Ngugulile

Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa BMG Media. Mawasiliano +255 757 432 694 ama ripotabmg@gmail.com
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan Desemba 02, 2024 ameshiriki ibada ya kuuaga mwili wa mbunge wa Kigamboni Dar na Mkurugenzi Mteule wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Kanda ya Afrika, Dkt. Faustine Ndugulile.

Shughuli ya kuuaga mwili wa Dkt. Ndugulile imefanyika katika uwanja wa Karimjee jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali, wananchi na familia.

Dkt. Ndugulile aliyezaliwa mwaka Machi 31, 1969 alifariki Disemba 27,2024 wakati akipatiwa matibabu nchini India ambapo mazishi yake yanafanyika Disemba 03,2024 katika makaburi ya Mwongozo Kigamboni jijini Dar.

No comments:

Powered by Blogger.