Aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu UWT Taifa Jesca Mbogo ajitosa Viti Maalum, Dodoma
Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa BMG Media. Mawasiliano +255 757 432 694 ama ripotabmg@gmail.com
Aliyekuwa Naibu Katibu mkuu UWT Taifa Bi.Jesca Mbogo leo amechukua fomu ya kuwania ubunge wa viti maalumu mkoa wa Dodoma, Bi.Jesca amekabidhiwa fomu leo na katibu wa UWT Mkoa wa Dodoma Bi. Irimina Mushongi.
No comments: