Dida achukua fomu ya ubunge Viti Maalum Mwanza
Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa BMG Media. Mawasiliano +255 757 432 694 ama ripotabmg@gmail.com

Mbali na nafasi yake ndani ya UWT, Dida pia anajulikana kama mwanaharakati mahiri wa haki za wanawake. Amekuwa akiandaa na kuratibu makongamano mbalimbali na pia ni muandaaji wa Tuzo Maarufu za Mwanamke Kinara zinazotolewa Kanda ya Ziwa.
No comments: