LIVE STREAM ADS

Header Ads

Mwanahabari achukua fomu ya udiwani Viti Maalum Nyamagana

Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa BMG Media. Mawasiliano +255 757 432 694 ama ripotabmg@gmail.com
Mwandishi wa Habari wa Gazeti la Nipashe, Rose Jacob (kulia) ambaye pia Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Wilaya ya Nyamagana amechukua fomu ya kugombea nafasi ya udiwani Viti Maalum Wilaya ya Nyamagana mkoani Mwanza.

No comments:

Powered by Blogger.