AJALI MBAYA YATOKEA MANYONI MKOANI SINGIDA, IKILIHUSISHA BASI LA ZUBERY NA GARI DOGO LA ABIRIA.
![]() |
Mpaka sasa hakuna taarifa za uhakika kama kuna abiria wamepoteza maisha katika ajali hii mbali ya kusababisha majeruhi takribani wote waliokuwa katika gari hili dogo la Abiria. |
![]() | |
Picha zote na Dk.Tonny @Radio Metro kwa ushirikiano na Antony Marcus (Mdau). |
No comments: