AJALI MBAYA YATOKEA MANYONI MKOANI SINGIDA, IKILIHUSISHA BASI LA ZUBERY NA GARI DOGO LA ABIRIA.
Mpaka sasa hakuna taarifa za uhakika kama kuna abiria wamepoteza maisha katika ajali hii mbali ya kusababisha majeruhi takribani wote waliokuwa katika gari hili dogo la Abiria. |
Picha zote na Dk.Tonny @Radio Metro kwa ushirikiano na Antony Marcus (Mdau). |
No comments: