Kuhusu Maslahi kwa Maaskari
kutoka kampuni binafsi za Ulinzi,Maaskari Wahitimu hao walisema kuwa maslahi
duni kwa maaskari yasipoepukika yanaweza kuhatarisha utendaji kazi wao kwa kuwa
askari asipolipwa vizuri na kwa wakati anaweza kujiingiza katika vitendo vya
kushirikiana na waharifu na hivyo kuhatarisha utendaji kazi wa kampuni husika.
Kampuni ya KK-Securiti imekuwa
na Utaratibu wa Kuandaa Mafunzo kwa Maaskari wake wa Ulinzi kabla ya Kuwaajiri
ambapo katika zoezi hili Mafunzo yamekuwa yakitolewa kwa awamu mbalimbali huku Mkoa wa Mwanza ukiwa ni Moja ya Vituo
vya Mafunzo vya Kampuni hiyo Kwa ajiri
ya Kuwafunza mbinu mbalimbli za Ulinzi na Usalama Maaskari wake jambo ambalo
limekuwa likiimarisha utendaji kazi wa Kampuni hii na hivyo kuwa kivutio cha
watu na Makampuni mengi yanayohitaji huduma ya Ulinzi.
|
No comments: