MAKALA MAALUMU NAMNA REBU SEKONDARI TARIME ILIVYOTEKELEZA UJENZI WA MAABARA ZAKE ZOTE.
BONYEZA PLAY HAPA CHINI KUSIKILIZA.
Imeletwa kwenu na Tunda la Rebu Sekondari George Binagi-GB Pazzo kwa Hisani ya 99.4 Metro Fm, Pamoja na Wewe & Binagi Media Group, Kwa Pamoja Tuijuze Jamii.
Kushoto ni George Binagi-GB Pazzo (Mtangazaji/ Mwandishi Metro Fm Mwanza & Binagi Media Group) akizungumza na Julius Mgaya (Kulia) ambae ni mwanafunzi Rebu Sekondari. |
Mwl.Steven Togolo Tabu (mbele) ambae ni mwalimu wa masomo ya Physics na Maths Rebu Sekondari |
Mkuu wa Shule ya Sekondari Rebu Mwl.Nelson Richard (katikati) akionyesha majengo ya Maabara katika Shule hiyo. Kulia ni Zablon Gilliard ambae ni mmoja wa wanafunzi waliohitimu Rebu Sekondari. |
Miongoni Mwa majengo ya Maabara Rebu Sekondari Tarime Mkoani Mara. |
GPA ndo hizi Waungwana. |
No comments: