TAMASHA LA GOSPEL CONCERT & CONFERENCE MEMORIAL MJINI COLUMBUS LAFANA.
Mwimbaji mahili wa nyimbo za injili kutoka Tanzania Upendo Nkone
akiimba moja ya nyimbo zilizowainua watu vitin kwenye tamasha la
Gospel lililoanza tangu siku ya Ijumaa iliyopita ya May 22, 2015 mjini Columbus Marekani na
kuhitimishwa hii leo siku ya Jumapili May 24, 2015. Tamasha hili lilihudhuriwa na
watu kutoka mataifa mbalimbali duniani.
Picha na Kwanza Production
Picha na Kwanza Production
Mwimbaji kutoka Jamhuri ya Congo akienda sambamba na mwimbaji
mahili wa nyimbo za injili Upendo Nkone kwenye tamasha la Gospel
lililofanyika siku ya Jumamosi May 23, 2015 6230 Busch Blvd suit 260,
Columbus, OH 43229.
Mchungaji Donis Nkone ambaye ni kaka ya mwimbaji Upendo Nkone
akitoa ukifanya utambulisho kwa bendi iliyokuwa ikitumbuiza nyimbo za
injili kwenye tamasha la Gospel lililofanyika siku ya Jumamosi May 23,
2015 mjini Columbus.
Mchungaji Donis Nkone na mkewe Nnunu Nkone wakifuatilia tamasha la
Gospel
Bendi ikienelea kupiga moja ya nyiimbo za mwimbaji wa nyimbo za
injili kutoka Tanzania Upendo Nkone.
Bendi ikitumbuiza.
No comments: