Kenya nayo imeshindwa kufuzu katika hatua ya makundi kuwania kucheza Kombe la Dunia baada ya kufungwa kwa mabao 2-0 na Cape Verde ikiwa mjini Praia. Kipigo hicho kinaifanya Kenya kuondoka kwa jumla ya mabao 2-1 kwa kuwa ilishinda kwa bao 1-0 mjini Nairobi katika mchezo wa kwanza.
No comments: