KATIBU MKUU UVCCM TAIFA AONGEA NA WAZAZI, WALIIMU NA WANAFUNZI WILAYANI MBULU, MANYARA.
Miongoni mwa mashina sita ya Wakereketwa wa Chama cha Mapinduzi CCM, yaliyozinduliwa na Kaimu Katibu Mkuu UVCCM Taifa, Shaka Hamdu Shaka katika Wilayani Mbulu Mkoani Manyara jana.
Kaimu
Katibu Mkuu UVCCM Taifa, Shaka Hamdu Shaka akipanda mti mara baada ya kuwasili
katika Shule ya Sekondari Tlawi ilioko wilayani Mbulu na kuhamasisha wanafunzi
kuwa mabalozi wazuri katika kutunza Mazingira.
Mara baada Kaimu Katibu Mkuu UVCCM, Taifa Shaka Hamdu Shaka kuwasiri katika viwanja vya shule ya TLAWI Mwenyekiti wa UVCCM Wilaya ya Mbulu Danstani Panga akifungua Mkutano wa Hadhara
Kaimu Katibu Mkuu UVCCM Taifa Shaka Hamdu Shaka akihutubia
Mkutano huo ulio hudhuliwa Na Wazazi,Walimu na Wanafunzi wa Shule ya Sekondari
TLAWI
Wanafunzi wakisikiliza kwa Makini hotuba ya Kaimu Katibu
Mkuu UVCCM Taifa Shaka Hamdu Shaka
Pia katika Mkutano huo Kaimu Katibu Mkuu UVCCM Taifa Shaka H
Shaka aliwaasa wanafunzi yakuwa "NYINYI NDIO TAIFA LA LEO SI LA KESHO CHA
MSINGI MSOME KWA BIDII ILI KUTIMIZA MALENGO YENU"Maneno haya aliyazungumza
Kaimu Katibu Mkuu UVCCM Taifa Shaka Hamdu Shaka na kuzidi kusema "Humu kwa
miaka ijayo katika Shule hii Tutapata viongozi mbalimbali.
Wanafunzi wakimsindikiza Kaimu Katibu Mkuu UVCCM Taifa Shaka
Hamdu Shaka kwa nyimbo shangwe na nderemo mara baada ya kumaliza Mkutano wa hadhara
katika shule ya Sekondari TLAWI
Wanafunzi wakimsindikiza Kaimu Katibu Mkuu UVCCM Taifa Shaka Hamdu Shaka kwa nyimbo shangwe na nderemo mara baada ya kumaliza Mkutano wa hadhara katika shule ya Sekondari TLAWI
Akisoma Taarifa ya CCM Wilaya ya Mbulu
Wazazi na Waalimu Wakimsikiliza Katibu Mkuu UVCCM Taifa
Shaka Hamdu Shaka kwa umakini.
Picha na Fahadin Siraji
No comments: