LIVE STREAM ADS

Header Ads

LAKE FM YATOA FURSA KWA WANANZENGO WA MWANZA KUELEZA HISIA ZAO.

102.5 Lake Fm ya Jijini Mwanza sasa inawatambulisha wasikilizaji wake katika Mitandao ya Kijamii ya Radio hiyo na hivyo kutoa fursa kwa wasikilizaji kueleza hisia zao kwa kusema raha ya Rock kwao ni nini.

"Anaitwa #Yunis Mwananzengo kutoka Jijini Mwanza. Anaipenda sana #LakeFm

RAHA YAKE YA ROCK CITY NI MUZIKI WA MWANZA!
JE WEWE RAHA YAKO YA ROCK CITY NI NINI?
Follow Twitter, Facebook & Instagram @lakefmmwanza
#RahaYaRockCity #RadioYaWananzengo". Lake Fm imeandika katika kurasa zake za Mitandao ya kijamii.

No comments:

Powered by Blogger.