LIVE STREAM ADS

Header Ads

MTANZANIA MWINGINE AIPAISHA BENDERA YA TANZANIA KIMATAIFA.

Frank Lyimo (mwenye vazi la kimasai) mmoja ya Watanzania wanaosoma katika Chuo cha Kimataifa cha Virginia nchini Marekani, ameshinda shindano la Mavazi lililofanyika siku ya Alhamisi April 21, 2016. Vazi lililompa taji hilo ni vazi la kimasai.
Frank Lyimo akiwa katika picha ya pamoja na miss District of Columbia mara tu alipovikwa taji na kuwa Mr. Virginia International University.
Frank Lyimo akiwa katika picha ya pamoja na wanachuo wenzake wa Kitanzania wakipeperusha bendera ya Tanzania chuoni hapo katika kusherehekea ushindi.
Frank Lyimo (kati) akiwa na washiriki wengine.

No comments:

Powered by Blogger.