LIVE STREAM ADS

Header Ads

NOAH YAACHA NJIA NA KUPARAMIA DALADALA.

 Wananchi wakiangalia ajali ya Noah yenye namba za usajili T 359 DFQ iliyodaiwa kuacha njia na kuparamia daladala namba T 797 DEW eneo la Buza Njia Panda ya Kitunda jijini Dar es Salaam jana jioni. 

Katika ajali hiyo watu wawili waliokuwa kwenye Noah hiyo waliotajwa kuwa ni Askari wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), walijeruhiwa na kukimbizwa Hospitali ya Temeke kwa matibabu.
Na Dotto Mwaibale
 Noah hiyo ikiwa kwenye mtaro baada ya kutokea ajali hiyo.
 Daladala lililogongana na Noah hiyo likiwa eneo la tukio.
Wananchi wakiwa eneo la ajali hiyo.

No comments:

Powered by Blogger.