Katika Kuadhimisha Siku ya Kimataifa kuongeza Uelewa katika jamii kuhusu watu wenye Ualibino hii leo, 102.5
Lake Fm Mwanza, Inasema "Tumechagua Kutowabagua, Kuwatetea na
Kuwalinda" #LakeFm#Rahayarockcity #RadioyaWananzengo #Mwanza
Tazama Ujumbe katika Video
UJUMBE WA 102.5 LAKE FM MWANZA KATIKA SIKU YA KIMATAIFA KUONGEZA UELEWA KUHUSU WATU WENYE UALIBINO.
Reviewed by BMG Media
on
June 13, 2016
Rating: 5
No comments: