RATIBA YA IBADA YA MAZISHI YA MAREHEMU MWALIMU SOKORO.
Ikiwa Una Habari, Tukio, Picha, Maoni au Tangazo, Wasiliana Na BMG Kwa Nambari za Simu 0757 432694 Au Email binagimediagroup@gmail.com
Shughuli za ibada ya mazishi zinafanyika katika Kanisa la AICT Makongoro Jijini Mwanza kuanzia saa mbili asubuhi, na baadae maziko kufanyika Makaburi ya Kitangiri majira ya saa kumi jioni.
No comments: