LIVE STREAM ADS

Header Ads

TIGO YADHAMINI MKUTANO WA WADAU WA SIMU DUNIANI UNAOFANYIKA JIJINI DAR ES SALAAM.

Ikiwa Una Habari, Tukio, Picha, Maoni au Tangazo, Wasiliana Na BMG Kwa Nambari za Simu 0757 432694 Au Email binagimediagroup@gmail.com

Mkurugenzi wa kampuni ya simu za mkononi ya Tigo, Diego Gutierrez (kushoto) akijibu swali wakati wa mahojiano kwenye mkutano wa wadau wa Makampuni ya simu Duniani (GSMA) wanaokutana jijini Dar es Salaam.
Na Krantz Mwantepele
Mkuu wa kitendo cha masoko wa kampuni ya Simu za mkononi ya Tigo Tanzania Olivier Prentout (kulia), akizungumza na Emmanuel De Dinechin ambaye ni mshiriki mwenzake wa mkutano wa wadau wa Makampuni ya simu Duniani (GSMA) wanaokutana jijini Dar es Salaam.
Head of B2B wa Kampuni ya Tigo Tanzania Rene Bascope (kulia), akizungumza na washiriki wenzake  wa mkutano wa wadau wa Makampuni ya simu Duniani (GSMA) wanaokutana jijini Dar es Salaam, Kushoto ni Peter Maver na katikati ni Riyaz Shak.
Afisa Biashara mkuu wa Kampuni ya simu za mkononi ya Tigo Shavkat Berdiev akizungumza na waandishi wa habari kabla ya kuhutubia mkutano wa wadau wa makampuni ya simu duniani (GSMA) unaofanyika nchini.
Wadau wa habari wakiwa katika banda la Millicom ambayo ni kampuni mama ya kampuni ya simu za mkononi ya Tigo Tanzania.

No comments:

Powered by Blogger.