LIVE STREAM ADS

Header Ads

REDIO MPYA YA WANANZENGO 102.5 LAKE FM MWANZA YAANZA RASMI KURUSHA VIPINDI VYAKE HEWANI.

Ikiwa Una Habari, Tukio, Picha, Maoni au Tangazo, Wasiliana Na BMG Kwa Nambari za Simu 0757 432694 Au Email binagimediagroup@gmail.com

Aisha Mussa, Mtangazaji wa Mshike Mshike, Lake Fm Mwanza.

Haya sasa ‪#‎MshikeMshike‬ umetua Rock City kupitia 102.5 @lakefmmwanza na Mwananzengo @aysher41 ‪#‎Aisha‬.
Ni kuanzia jumatatu hadi ijumaa, saa tano asubuhi hadi saa saba mchana. ‪#‎LakeFm‬ ‪#‎RahaYaRockCity‬ ‪#‎RedioYaWananzengo‬ ‪#‎Mwanza‬

Mshike Mshike kinakuwa ni kipindi cha kwanza kuruka hewani kuanzia leo Agost 15,2016 kupitia Lake Fm Mwanza na vipindi vingine vinafuatia.
Bonyeza HAPA Kujua zaidi kuhusu Lake Fm

No comments:

Powered by Blogger.