ILIVYONOGA KWENYE KISHINDO CHA TIGO FIESTA 2016 JIJI LA TANGA.
Ikiwa Una Habari, Tukio, Picha, Maoni au Tangazo, Wasiliana Na BMG Kwa Nambari za Simu 0757 432694 Au Email binagimediagroup@gmail.com
Roma Mkatolili akitumbuiza katika jukwaa la Tigo Fiesta katika Tamasha hilo liliofanyika katika viwanja vya Mkwakwani Jijini Tanga usiku wa Ijumaa iliyopita Septemba 23,2016.
Na Krantz Mwantepele
Nahreel na Aika toka Kundi la Navykenzo wakilishambulia jukwaa la Tigo Fiesta katika viwanja vya Mkwakani Jijini Tanga.
Shetta akiwa na wacheza wake akitoa burudani kwa maelf ya mashabiki waliojitokeza katika Viwanja vya Mkwakwani usiku wa Ijumaa
Kundi la weusi wakitoa burudani na michano ya nyimbo zao kali kwa wapenzi wa muziki waliojitokeza katika Tamasha la burudani la Tigo Fiesta jijini Tanga
Barnaba akiwa kwenye jukwaa la Tigo fiesta uwanja wa Mkwakwani Tanga usiku wa ijumaa
Benpol akitumbuiza kwa Style ya Mduara na wacheza shoo wake
DOGO JANJA naye akiwakonga wapenzi wa muziki waliojitokeza katika Tamasha la Tigo fiesta
Makomandoo wakionesha umahiri wao wa kumiliki jukwaa
Maua Sama naye aliwakonga nyoyo wapenzi wa burudani waliojitokeza kwa wingi katika Tamasha la Tigo Fiesta jijini Tanga.
Nay wa Mitego akilivamia jukwaaa la Tigo Fiesta katika Tamasha hilo lililofanyika katika viwanja vya Mkwakani usiku wa ijumaa iliyopita.
Maelfu ya wakazi wa jiji Tanga waliojitokeza katika viwanja vya Mkwakwani katika Tamasha la Tigo Fiesta wakipata burudani kwa wasanii wa Bongofleva na Vikundi vya Taarabu vilivyotoa burudani ya kukata na shoka usiku wa ijumaa iliyopita Septemba 23,2016.
No comments: