MKOA WA SINGIDA WAPATWA NA KISHINDO CHA BURUDANI YA MSIMU WA TIGO FIESTA 2016.
Ikiwa Una Habari, Tukio, Picha, Maoni au Tangazo, Wasiliana Na BMG Kwa Nambari za Simu 0757 432694 Au Email binagimediagroup@gmail.com
Msanii Ben Pol akiwa jukwaani kuwapagawisha wakazi wa Singida kwenye tamasha la Tigo Fiesta lililofanyika uwanja wa Namfua usiku wa kuamkia juzi.
Na Krantz Mwantepele
Dj D Ommy akiwa katika kuhakikisha kuwa kila burudani inayotolewa na wasanii inakuwa katika utaratibu maalum katika usiku wa Tamasha la Tigo Fiesta mkoani Singida katika viwanja vya Namfua usiku wa juzi.
FID Q akitumbuiza katika jukwaa la Tigo Fiesta mkoani Singida katika viwanja vya Namfua usiku wa juzi
JUX akiwaburudisha wapenzi wa muziki waliojitokeza kwa wingi katika viwanja vya Namfua mkoani Singida wakati wa tamasha la Tigo Fiesta usiku wa juzi
Niki wa pili akitumbuiza katika jukwaa la Tigo Fiesta usiku wa juzi Mkoani Singida
Malkia wa Uswazi Snura akiwa na madancer wake katika kuwapagawisha wakazi wa Singida katika usiku wa Tigo Fiesta usiku wa juzi katika viwanja vya Namfua
Maelfu ya wakazi wa Singida waliojitokeza kwa wingi kushuhudia Tamasha kubwa la burudani Tigo Fiesta lilifanyika katika viwanja vya Namfua mkoani humo usiku wa juzi
No comments: