LIVE STREAM ADS

Header Ads

KONGAMANO LA SAUTI YA MWANAMKE KUWAWEKA PAMOJA WANAWAKE JIJINI MWANZA KUJIFUNZA NA KUPATA BURUDANI.

Ikiwa Una Habari, Tukio, Picha, Maoni au Tangazo, Wasiliana Na BMG Kwa Nambari za Simu 0757 432694 Au Email binagimediagroup@gmail.com
Kongamano la Sauti ya Mwanamke ambalo limeandaliwa na Kampuni ya CHOCOLATE PRINCES inayoandaa kipindi cha THE MBONI SHOW chini ya mtangazaji wake Mboni Masimba, kinachoruka TBC1, litawakutanisha wanawake wengi Jijini Mwanza kupata elimu ya kujikwamua kiuchumi pamoja na kupata burudani.

Ni Jumapili tarehe 06.11.2016 katika Ukumbi wa Gold Crest Hotel kuanzia majira ya saa kumi alasiri kwa kiingilio cha shilingi elfu arobaini pamoja na chakula.
Bonyeza HAPA Kujua Zaidi

No comments:

Powered by Blogger.