CHUO CHA MUHAS CHATAKIWA KUSHIRIKIANA NA WAHITIMU WAKE KUFIKIA MALENGO.
Ikiwa Una Habari, Tukio, Picha, Maoni au Tangazo, Wasiliana Na BMG Kwa Nambari za Simu 0757 432694 Au Email binagimediagroup@gmail.com
Na James Salvatory, BMG Dar
Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS), kimetakiwa kuunganisha nguvu na wahitumu wa chuo hicho ili kutatua changamoto mbalimbali zinazoikabili chuo hicho.
Akizungumza kwa niaba ya waziri wa elimu katiaka kongamano lililowakutanisha wa hitimu wajasili wa chuo hicho (alumn), mkurugenzi wa elimu ya juu kutoka wizara hiyo professa Sylivia Temu amesema muhas ni chuo ambacho hakijateteleka katika kutoa mafunzo na tafti na kuviomba vyuo vingine kuiga mafano huo.
Antonio Kayuni ambaye ni muhitimu wa chuo hicho anasema malengo makuu ya kongamano hilo ni kujadili na kuweka mawazo mbalimbali ya kuboresha chuo na kuweka mawanzo mbalimbali ili kuweza kusogeza chuo mbele katika nyanja zote.
No comments: