LIVE STREAM ADS

Header Ads

NAIBU WAZIRI WA MAZINGIRA ASIKITISHWA NA UCHAFUNZI WA MAZINGIRA MTAA WA KEKO JIJINI DAR.

Ikiwa Una Habari, Tukio, Picha, Maoni au Tangazo, Wasiliana Na BMG Kwa Nambari za Simu 0757 432694 Au Email binagimediagroup@gmail.com

Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira, Luaga Mpina, akizungumza jana baada ya kufanya ziara ya kushtukiza katika eneo la Keko Magurumbasi B Jijini Dar es salaam na kukuta uchambuzi wa mazingira kwenye mitaro iliyopo katika eneo hilo ambapo aliiagiza Wakala wa Barabara Tanroad kuhakikisha inajenga mitaro ya kutiririsha maji machafu katika eneo hilo.
Na James Salvatory, BMG Dar
Ameagiza Tanroad kushirikiana na Dawasco kujenga bomba kubwa la kutiririsha maji machafu ili kuzuia maji hayo kutiririka ovyo mitaani
Uchafunzi wa mazingira Mtaa wa Keko Magurumbasi B Jijini Dar es salaam
Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Keko Magurumbasi B, Henny Sabu, amesema baadhi ya viwanda vimekuwa vikitirisha maji taka bila kuzingatia kanuni za kimazingira na kusababisha watoto wadogo kuchezea maji yenye sumu na kubabuka katika mili yao.

No comments:

Powered by Blogger.