LIVE STREAM ADS

Header Ads

WAUMI WA DINI YA KIISLAMU NCHINI WASHEREHEKEA SIKUKUU YA MAULID.

Ikiwa Una Habari, Tukio, Picha, Maoni au Tangazo, Wasiliana Na BMG Kwa Nambari za Simu 0757 432694 Au Email binagimediagroup@gmail.com

Waumini wa dini ya Kiislamu nchini leo wanaungana na wenzao kote ulimwenguni kusherehekea Sikukuu ya Maulid ambayo ni kumbukumbu ya kuzaliwa kiongozi wao Mtume Muhammad.

Mufti wa Tanzania Sheikh Abubakary Zubery amesema dua ya Maulid imefanyika jana usiku na baraza la Maulid limefanyika asubuhi hii katika tarafa ya Shelui mkoani Singida ambapo Waziri Mkuu Kassim Majaliwa alikuwa mgeni rasmi.


Mufti Zubery amewataka watanzania hasa wenye uwezo kuwahurumia wasio na uwezo ambapo amesema mtume mohammad alifundisha kuwa dini imekuja kutunza upendo na Amani.
#LakeFmHabari

No comments:

Powered by Blogger.