ZAIDI YA ASILIMIA 50 YA WATANZANIA HAWAJAWAHI KUIONA KAIBA INAYOTUMIKA SASA.
Ikiwa Una Habari, Tukio, Picha, Maoni au Tangazo, Wasiliana Na BMG Kwa Nambari za Simu 0757 432694 Au Email binagimediagroup@gmail.com
Na James Salvatory, BMG Dar
Imeelezwa kuwa asilimia 50 ya watanzania hawajawahi kuiona katiba ya sasa huku katika watanzania 10 Ambao waliwahi kuiona katiba hiyo, ni watu watatu tu ambao waliisoma
Akizungumza jana katika semina ya siku moja ya utafiti na uelewa wa katiba kwa watanzania iliyolenga juu ya uwelewa wa katiba kwa wananchi, Mkurugenzi wa kitaifa wa kampuni ya Sung consultant's, Haron Sungusia, alisema kuwa walifanya utafiti kwa Mikoa 20 kwa lengo la kujua uelewa wa katiba ya mwaka 1977 na katiba ya zanzibar ya 1984 na rasimu ya Jaji Mstaafu, Joseph Warioba na katiba mpya ambapo waligundua asilimia 50 ya watanzania hawajawahi kuiona katiba ya sasa huku katika watanzania 10 Ambao waliwahi kuiona katiba ya sasa ni watatu tu ambao waliisoma
Aidha Sungusia alisema kuwa baada ya uchunguzi huo walipendekeza mitaala ya elimu iboreshwe kwa kuweka somo la katiba katika shule na mikoa ambayo inaongoza kuwa nyuma kwa masuala ya kikatiba kiwekea mikazo katika mpango wa taasisi mbalimbali klza kushughulikia katiba mbalimbali
Kwa upande wake Waziri wa Katiba na Sheria, Harison Mwakiyembe, alisema kutokana na taarifa hiyo kuonyesha mapungufu hayo, serikali itachukua hatua za makusudi kuhakikisha katiba ya sasa au itakayokuja inawafikia wananchi, kwa kshirikiana na vyombo vya habari kwa lengo la angalau kwa kila siku kuweka vipengele viwili au vitatu ili wananchi waweze kuielewa
Utafiti wa uelewa wa katiba kwa watanzania iliyolenga juu ya uwelewa wa katiba kwa wananchi ulihusisha mikoa 20 ya Tanzania Bara (wilaya 45) huku kwa upande wa Tanzania Zanzibar ukihusiashwa wilaya 10 ambapo jumla ya wilaya 55 kwa Tanzania nzima zilihusishwa.
Imeelezwa kuwa asilimia 50 ya watanzania hawajawahi kuiona katiba ya sasa huku katika watanzania 10 Ambao waliwahi kuiona katiba hiyo, ni watu watatu tu ambao waliisoma
Akizungumza jana katika semina ya siku moja ya utafiti na uelewa wa katiba kwa watanzania iliyolenga juu ya uwelewa wa katiba kwa wananchi, Mkurugenzi wa kitaifa wa kampuni ya Sung consultant's, Haron Sungusia, alisema kuwa walifanya utafiti kwa Mikoa 20 kwa lengo la kujua uelewa wa katiba ya mwaka 1977 na katiba ya zanzibar ya 1984 na rasimu ya Jaji Mstaafu, Joseph Warioba na katiba mpya ambapo waligundua asilimia 50 ya watanzania hawajawahi kuiona katiba ya sasa huku katika watanzania 10 Ambao waliwahi kuiona katiba ya sasa ni watatu tu ambao waliisoma
Aidha Sungusia alisema kuwa baada ya uchunguzi huo walipendekeza mitaala ya elimu iboreshwe kwa kuweka somo la katiba katika shule na mikoa ambayo inaongoza kuwa nyuma kwa masuala ya kikatiba kiwekea mikazo katika mpango wa taasisi mbalimbali klza kushughulikia katiba mbalimbali
Kwa upande wake Waziri wa Katiba na Sheria, Harison Mwakiyembe, alisema kutokana na taarifa hiyo kuonyesha mapungufu hayo, serikali itachukua hatua za makusudi kuhakikisha katiba ya sasa au itakayokuja inawafikia wananchi, kwa kshirikiana na vyombo vya habari kwa lengo la angalau kwa kila siku kuweka vipengele viwili au vitatu ili wananchi waweze kuielewa
Utafiti wa uelewa wa katiba kwa watanzania iliyolenga juu ya uwelewa wa katiba kwa wananchi ulihusisha mikoa 20 ya Tanzania Bara (wilaya 45) huku kwa upande wa Tanzania Zanzibar ukihusiashwa wilaya 10 ambapo jumla ya wilaya 55 kwa Tanzania nzima zilihusishwa.
No comments: