FUATILIA KIKAO KAZI CHA WENYEVITI WA MANISPAA YA UBUNGO JIJINI DAR.
Ikiwa Una Habari, Tukio, Picha, Maoni au Tangazo, Wasiliana Na BMG Kwa Nambari za Simu 0757 432694 Au Email binagimediagroup@gmail.com
Mkurugenzi
wa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo Ndg John Lipesi Kayombo, jana akisisitiza jambo wakati wa kikao cha kazi na Wenyeviti wa Manispaa hiyo
Mstahiki
Meya wa Manispaa ya Ubungo (Aliyesimama) Meya wa Manispaa ya Ubungo, Boniface Jacob, akisisitiza
jambo wakati wa kikao cha kazi na Wenyeviti wa Manispaa hiyo, Kushoto kwake ni Mkurugenzi
wa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo Ndg John Lipesi Kayombo na kulia ni Naibu Meya wa Manispaa ya Ubungo Ramadhan Kwangaya
Wenyeviti wakisikiliza kwa makini maelekezo
mbalimbali wakati wa kikao cha kazi kilichoendeshwa na Mwenyekiti wa kikao
hicho Mhe Boniface Jacob ambaye ni Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ubungo.
Kutoka kushoto ni Naibu Meya wa Manispaa ya Ubungo Ramadhan Kwangaya Mstahiki
Meya wa Manispaa ya Ubungo Boniface Jacob, Mkurugenzi
wa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo Ndg John Lipesi Kayombo na Afisa Utumishi wa manispaa ya Ubungo Ndg Ally Juma akishauri jambo wakati wa kikao cha kazi na Wenyeviti wa Manispaa hiyo
Usikivu ni jambo la busara kikaoni
Mstahiki
Meya wa Manispaa ya Ubungo Boniface Jacob akizungumza wakati wa kikao cha kazi na Wenyeviti wa Manispaa ya Ubungo.
Picha na Nassir Bakari
No comments: