LIVE STREAM ADS

Header Ads

ALIYEKUWA MBUNGE WA JIMBO LA TEMEKE ABBAS MTEMVU APATA MSIBA MZITO.

Ikiwa Una Habari, Tukio, Picha, Maoni au Tangazo, Wasiliana Na BMG Kwa Nambari za Simu 0757 432694 Au Email binagimediagroup@gmail.com


Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Temeke na Kamanda wa Vijana Mkoa wa Dar es Salaam,
Abbas Mtemvu amefiwa na mama yake  mzazi Sitti Kilungo  Mtemvu.

Kifo kimetokea siku ya jumatano na msiba upo masaki  Mtaa wa Haileselasi karibu na Hospitali ya Osetabey ambapo chanzo kutoka katika familia kilidokeza   mazishi yanatarajiwa kufanyika siku ya Ijumaa Jun 2, 2017 saa kumi  alasiri katika  makaburi ya Kinondoni Jijini Dar es Salaam.
Na Khamis Mussa

No comments:

Powered by Blogger.