KARIBU KWENYE MKUTANO MKUBWA WA INJILI JIJINI MWANZA
Kanisa la kimataifa la EAGT Lumala Mpya lililopo nyuma ya Soko Kuu la Sabasaba Ilemela Jijini Mwanza, linawakawaribisha watu wote kwenye mkutano mkubwa wa injili utakaofanyika kuanzia leo Septemba 17 hadi Oktoba Mosi 2017 kwenye uwanja wa Sabasaba Ilemela.
Mchungaji Kiongozi Dkt.Daniel Moses Kulola pamoja na Mwinjilisti Roggers Mathias kutoka Marekani watahudumu kwenye mkutano huo huku waimbaji mbalimbali kama vile Havillah Gospel Singers, Ambwene Mwasongwe na Sam D wakitumbuiza pia.
Mchungaji Kiongozi Dkt.Daniel Moses Kulola pamoja na Mwinjilisti Roggers Mathias kutoka Marekani watahudumu kwenye mkutano huo huku waimbaji mbalimbali kama vile Havillah Gospel Singers, Ambwene Mwasongwe na Sam D wakitumbuiza pia.
Na Binagi Media Group
No comments: