Mbunge Doto Biteko apiga mkutano Mjini Ushirombo
Wasiliana na BMG kupitia 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com kwa huduma za Habari na Mangazo.
Mbunge jimbo la Bukombe mkoani Geita, Doto Mashaka Biteko (CCM) jana Julai 31, 2018 amefanya mkutano wa hadhara katika uwanja wa stendi Mjini Ushirombo na kuzungumzia masuala kadhaa ya maendeleo jimboni humo.
Ungana na
BMG Online Tv kwa undani wa habari hii...
No comments: