LIVE STREAM ADS

Header Ads

Kamanda wa Chadema ahamia CCM

Wasiliana na BMG kupitia 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com kwa huduma za Habari na Mangazo.

Kamanda (Redbrigade) wa Chadema wilaya ya Bukombe mkoani Geita, Yohana Lubigisa amekihama chama hicho na kujiunga na Chama cha Mapinduzi CCM.

Lubigisa amepokelewa jana na Katibu wa Siasa na Uenezi (CCM) mkoani Geita, David Azaria kwenye mkutano hadhara wa mbunge wa jimbo la Bukombe, Doto Biteko uliofanyika uwanja wa stendi Mjini Ushirombo.

No comments:

Powered by Blogger.