LIVE STREAM ADS

Header Ads

Wakulima na wafugaji Kanda ya Ziwa waunganishwa na masoko

Wasiliana na BMG kupitia 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com kwa huduma za Habari na Mangazo.

Wazalishaji wa bidhaa za kilimo na ufugaji Kanda ya Ziwa wameanza mchakato wa kuingia mikataba ya ushirikiano baina ya wanunuzi wa bidhaa hizo ili kuimarisha zaidi uhakika wa soko la bidhaa zao. Na George Binagi-GB Pazzo, BMG
Mkuu wa wilaya Misungwi, Mhe.Juma Sweda akifungua semina maalum iliyowakutanisha wazalishaji wa bidhaa za kilimo na ufugaji iliyofanyika leo kwenye Nyamhongolo Jijini Mwanza
Katibu Tawala wilayani Misungwi akitoa salamu zake kwenye semina hiyo
Mwita Mchuni ambaye ni Meneja Mradi, taasisi ya Global Communities akizungumza kwenye semina hiyo
Mratibu wa taasisi ya Global Communities, Patrick Tungu (katikati) akisikiliza mmoja wa washiriki wa semina hiyo
Mmoja wa washiriki kutoka taasisi ya TAHA akizungumza kwenye semina hiyo
Tazam BMG Online TV hapa chini

No comments:

Powered by Blogger.