MISUNGWI: Mkuu wa shule mbaroni kwa tuhuma za kumtongoza mwanafunzi
Wasiliana na BMG kupitia 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com kwa huduma za Habari na Mangazo.
Mwalimu Mkuu
wa shule ya sekondari Misasi wilayani Misungwi, Mwl. Deusdedit Damas jana Oktoba 05, 2018 ametiwa mbaroni kwa tuhuma za kumtongoza mwanafunzi wa kike
anayesoma kidato cha pili shuleni hapo.
No comments: