LIVE STREAM ADS

Header Ads

MISUNGWI: Mkuu wa shule mbaroni kwa tuhuma za kumtongoza mwanafunzi

Wasiliana na BMG kupitia 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com kwa huduma za Habari na Mangazo.

Mwalimu Mkuu wa shule ya sekondari Misasi wilayani Misungwi, Mwl. Deusdedit Damas jana Oktoba 05, 2018 ametiwa mbaroni kwa tuhuma za kumtongoza mwanafunzi wa kike anayesoma kidato cha pili shuleni hapo.

No comments:

Powered by Blogger.