Nabii aonyeshwa unabii wa kutisha kuhusu “Valentine’s Day”
Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
Nabii Deo
Njeni wa Kanisa la Revival (Huduma ya Utukufu wa Mwisho), lililopo Mtaa wa
Shamaliwa B Kata ya Igoma Jijini Mwanza, ameoneshwa unabii wa kutisha kuhusiana
na “Valentine’s Day” ambayo mataifa mengi huisherehekea kama siku ya
wapendanao.
Ungana na BMG Online TV kufahamu unabii huo kisha chukua hatua.
No comments: