LIVE STREAM ADS

Header Ads

Viwanja vinauzwa jijini Dodoma kwa bei nafuu

Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
Jumla ya viwanja 40 vilivyopimwa vinauzwa jirani na eneo la mzani lililopo Kata ya Nala jijini Dodoma. Ukubwa wa viwanja ni kuanzia Square Meter 574 hadi Square Meter 800 ambapo bei ni kuanzia shilingi milioni tatu za kitanzania.

Unaweza kulipia kiwanja kwa awamu sita ambapo awamu ya kwanza utalipia asilimia 50 ya bei ya kiwanja na baada ya hapo utakuwa ukilipa marejesho yaliyobaki kwa awamu tano ili kukamilisha malipo ya kiwanja chako.

Changamkia fursa hii kwa kuwasiliana na Dkt. Danford Muyango (PhD) kwa kupiga simu nambari 0752 37 38 99 ili nawe umiliki kiwanja Makao Makuu ya Nchi Dodoma.

No comments:

Powered by Blogger.