Tukio la wanafunzi "kuvuna mtama kwa meno" wilayani Bunda lachukua sura mpya
Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
Mkuu wa
Wilaya ya Bunda mkoani Mara, Lydia Bupilipili amesema ataunda tume maalum ili
kuchunguza ukweli wa tuhuma zinazomkabili Mwalimu Mkuu Msaidizi wa Shule ya Msingi
Mihingo kuwatumikisha wanafunzi kwenye mashamba yake
ikiwemo kuvuna mtama kwa meno nyakati za masomo.
Tazama BMG Online TV hapa chini
No comments: