LIVE STREAM ADS

Header Ads

Mafuriki yasababisha maafa Sengerema "tisa wafariki dunia"

Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
Watu tisa wa familia mbili tofauti wakazi wa Nyatukala Wilaya Sengerema mkoani Mwanza wameripotiwa kufariki dunia baada ya kusombwa na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa iliyonyesha Jumamosi Novemba 23, 2019 kuanzia majira ya asubuhi hadi mchana.

Mvua hiyo pia ilisababisha uharibifu wa baadhi ya miundombinu ikiwemo nyumba pamoja na barabara.
Tazama BMG TV ONLINE hapa chini

No comments:

Powered by Blogger.