Tanzania yaandika historia nyingine sekta ya madini
Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
Rais wa Tanzania Dkt. John Magufuli Januari 24, 2020 ameshuhudia zoezi la utiaji saini makubaliano ya kuendesha kwa pamoja uchimbaji wa madini kati ya Serikali na kampuni ya Barrick kupitia kampuni ya pamoja iitwayo Twiga.
Tazama BMG TV hapa chini
SOMA>>> Habari kuhusiana na madini
No comments: