LIVE STREAM ADS

Header Ads

Halmashauri Kuu ya CCM yakagua miradi ya maendeleo mkoani Mwanza

Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com

 Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa Mwanza Januari 28, 2020 wamefanya ziara ya kukagua utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa na Serikali.

Miradi hiyo ni ujenzi wa vivuko vipya vya MV. Ilemela, MV. Chato na MV. Ukara. Pia ujenzi wa jengo la mizigo uwanja wa ndege wa Mwanza, jengo la abiria uwanja wa ndege wa Mwanza, jengo la kuongozea ndege, chelezo, meli mpya ndani ya Ziwa Victoria, ukarabati wa MV. Victoria, MV. Butiama, daraja la Kigongo-Busisi pamoja na mradi wa maji Magu.
Na George Binagi-GB Pazzo, BMG
 Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Mkoa Mwanza wakikagua sehemu ya jengo la mizigo katika uwanja wa ndege wa Mwanza.
Tazama BMG TV hapa chini

No comments:

Powered by Blogger.