Wachimbaji madini waja na wazo la kuanzisha benki
Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Wachimbaji Madini Mkoa Mtwara (MWAREMA), Jenipher Mwita akizungumza kwenye kikao cha wadau wa madini kilichofanyika jijini Mwanza Januari 24, 2020.
Afisa kutoka benki ya CRDB akijibu hoja za ugumu wa upatikanaji wa mikopo kwenye mabenki nchini Tanzania iliyotolewa na wachimbaji kwenye mkutano huo.
Mwenyekiti wa Chama cha Wachimbaji Madini Mkoa Mwanza, Richard Seni akizungumza kwenye mkutano huo.
Tazama BMG TV hapa chini
No comments: