LIVE STREAM ADS

Header Ads

Mzee Mkapa atambulisha Kitabu chake jijini Mwanza

Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
 Rais Mstaafu wa Serikali ya Awamu ya Tatu, Mzee Benjamin William Mkapa amesema kusudio la kuandika kitabu cha maisha yake (My Life, My Purpose- Maisha Yangu, Kusudio Langu) ni kuweka wazi masuala mbalimbali yakiwemo ya uongozi ambayo hayafahamiki.

Mzee Mkapa aliyasema hayo Februari 21, 2020 jijini Mwanza wakati akizungumza kwenye utambulisho wa kitabu hicho na kuongeza kwamba watu wengi hususani wanasiasa wanamlaumu kwa Sera alizotekeleza ikiwemo ubinafsishaji lakini wakisoma kitabu cha “My Life, My Purpose” watapata ukweli wa mambo.
Na George Binagi-GB Pazzo, BMG
 Rais Mstaafu Mzee Benjamin Mkapa (kulia) akimkabidhi Mkuu wa Mkoa Mwanza John Mongella (kushoto) kitabu cha "My Life, My Purpose".
 Viongozi na wadau mbalimbali waliohudhuria hafla ya utambulisho wa kitabu cha "My Life, My Purpose" jijini Mwanza.
Tazama BMG TV hapa chini

No comments:

Powered by Blogger.