LIVE STREAM ADS

Header Ads

INASIKITISHA- Mme na Mke wanaishi na upofu “chanzo ni sumu"

Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
  Bwana Mathias Machela Kilangi (47) mzaliwa wa Kijiji cha Ilungu Wilaya Magu mkoani Mwanza anaishi na ulemavu wa macho tangu mwaka 2002 ambapo anadai hali hiyo ilitokana na kula kitu kinachodhaniwa ni sumu.

Amejaaliwa watoto watatu na mkewe aitwaye Veronica Yohana ambaye pia ni mlemavu wa macho anaosema ulisababishwa na matumizi ya dawa. Simulizi ya wawili hao inasikitisha, ungana na BMG TV kujua undani wake.
Tazama BMG TV hapa chini

No comments:

Powered by Blogger.