Mongella awataka NIDA kupiga kambi visiwani
Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
Ziara ya Mkuu
wa Mkoa Mwanza, John Mongella katika Visiwa vidogo 38 vya Wilaya Ukerewe ambayo
pia ni Kisiwa kikubwa katika Ziwa Victoria.
Katika ziara
hiyo wananchi wamelalamika kukosa nambari za vitambulisho vya Taifa baada ya
kujiandikisha ambapo Mongella aliagiza maafisa wa NIDA mkoani Mwanza kupiga
kambi visiwani ili kutoa huduma hiyo.
#BMGHabari
#BMGHabari
Tazama BMG TV hapa chini
SOMA>>> Mongella akemea wizi wa dawa
No comments: